Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mkoani Dodoma akizungumza kuhusu kukamatwa kwa vitendo vya rushwa kwa aliyekuwa mbunge wa Kigoma Kaskazini Peter Serukamba leo na aliyekuwa Mbunge wa mtera Livingstone Lusinde (kibajaji) aliyekamatwa Julai 7,2020.
CHADEMA WAITUNISHIA MISULI TAKUKURU, BRIGEDIA JENERALI MBUNGO ASEMA WASUBIRI MATOKEO
/watch/gx7ZicZZbViZZ