Duration 2:10

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Daniel Chongolo Aipongeza IRUWASA

by TV M
33 watched
0
0
Published 31 May 2023

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Daniel Chongolo ameupongeza Uongozi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Iringa (IRUWASA) kwa kutekeleza na kufanikisha upatikanaji wa maji katika Kijiji cha Chamdindi na Ikengeza, jimbo la Isimani mkoani Iringa.

Category

Show more

Comments - 0