@asiajuma22867 years agoPole sana sweet mungu atakufanyia wepesi zaidi.
@
@asiajuma22867 years agoHongera my brother mungu akuwekee miaka mingi uendelee na moyo huo .
@
@stellalyarua29507 years agoPole sana lulu, mungu akubariki mwinyijako.
@
@justinerose79147 years agoJomoni ata sitaki kuona hii video maana ina niletea machozi jameni lulu be strong sis we all pray for hope one day utatoka tu akuna kisicho wezekana mbele. ...Expand3
@
@queenayushgalqueengal11487 years agoPole sana dada yetu m/mungu akupe moyo wa subra na uvumilivu kwani yote nimitihani na kila mwanadamu anapitia mtihani wake ila mungu yupo na ww lulu tunakuombea. ...Expand
@
@sweetbeibebeibe52307 years agoPole mungu atakupa wepesi kila jambo lina mwisho.
@
@ejnamestv7 years agoBro hongera sana, moyo huo ni wachache sana walionao. Huo inaniuma kina nikisikia habari za huyu binti, pole lulu, all n all azidi kumuomba mungu atamsamehe na kumfanyia wepesi.
@
@ailinlugambwaailin18337 years agoPole sana lulu hii nayo ni sehemu ya maisha kwanza mshukulu mungu ndugu wa marehemu walikuacha hai kwa hiyo vumilia hayo yataisha.
@
@donathasimon92927 years agoJmn lulu wang mungu akutie nguvu jmn. Hongera kaka umefanya vzr.
@
@irenesanga63057 years agoAsante mwinjaku but napenda kusema. Neno moja kwa lulu hata kwa watu wengine rafiki wa kweli ni baba yako na mama yako bila kumsahau mungu aliye juu kwamaana. ...Expand1
@
@shukrisharifu44037 years agoPole sana mami usjal kwel huwezi jua mungu pengine mungu kakuepusha na kubwa kuliko hili utamaliza tu mami.
@
@barnabasmsuha96887 years agoPole sana lulu usikate tamaa, mungu yupo nawe.
@
@doylinfrance20657 years agoPole lulu usikate tamaa mungu yupo pamoja na ww.
@
@znorahznoora62047 years agoHuyu kaka namkubali sana anaushauli mzuli sana na pia anajielewa kama mwanaume. 3
@
@mombiajumaa67657 years agoPole sana lulukwan ilikua si kusudio mungu atatenda ukweli ulijulikana lakini sheria ilifata mkondo wake.
@
@user-yi8xc6si3f7 years agoMasikin inasikitisha sana pinga moyo konde kwan siku hazigandi mungu atakujaalia utatoka. 1
@
@aimanali86127 years agoAllah akuhifadhi lulu na atulinde kwa sote.
@
@yuliarespis40467 years agoDah mpaka nimetokwa na machozi, mungu ni mwema yataisha.
@
@lidegundamakundi29286 years ago, pole xana lulu kama hukumuua kwel mungu akutie nguvu!
@
@fanakamasashua6087 years agoMwinjaku umefanya jambo la maana sana kumuona lulu at least nimesikia amani ndani ya moyo wangu. Wasanii wengine mlikuwa mnakula mnacheka na lulu nenden mkamtue moyo ni msanii mwenzenu. 1
@
@vailethnyagawa11827 years agoPle sana lulu lazim upitie kipindi hiki ili ufanyikishe malengo yako ple tutakupokea tumekumic sana ten sana nataman hata watu baki tungekuw tunaruhusiwa k . ...Expand
@
@zaifathussein81957 years agoMe swali langu ambalo waga kila siku najiuliza hivi kama lulu angehukumiwa punde mara baada ya kanumba kufariki kama wiki moja hivi, alafu akahukumiwa anyways tumshukuru mungu kwa kila jambo. pole sana yaarabhi tulinde na utuepushe na madhira ya dunia. ...Expand3
@
@florencemusila73487 years agoBado lulu tunakupenda, mungu ni mwaminifu atakutoa hapo in jesus name, niko kenya.
@
@mombiajumaa67657 years agoNawewe ulotukana kwa anaua wstoto wa watu ulikuepo au wewe ndo shahidi namba moja wsmekuacha ngoja lakwako likufike na wewe hi ni dunia yenye utelezi na ukiteleza,
@
@josephinerutta30966 years agoJaman kwani lulu yupo gereza gani! Na je mtu baki anaruhusiwa kumuona.
@
@kubwasana26497 years agoSema anatabasamu, huko si kucheka! hivi kwanini wabongo wakiongea kiji-neno cha kiingereza lazima watafsiri kiji-neno hicho kwa kiswahili?
@
@alexandrinadomaino98687 years agoPole sana dear lulu ni mapito tu. Kaka asante sana.
@
@babycandy11537 years agoMaskini mimi nikiskia Habari za LULU machozi hunitoka.ALLAH ampe Iman na INSHAA ALLAH WALLAI naamini atatoka tu.Everything happens with a reason just believe day yes I believe so.
@
@amounanyale92207 years agoHakuna anaependa mwanadamu mwenzie apatwe na matatizo tunamuombea kwa allah ampe subra nayo yatapita pia.
@
@mombiajumaa67657 years agoMwinjaku umefanya vizuri na uendelee na moyo huo kwani imani ailazimishwi ila luli ukitoka usiokee mdaada kwa yeyote yule uloona ulikua nae na akakutenga. ...Expand1
@
@papyjohntv07777 years agoPumbavuyalo umes haogea tonka umetumwa.
@
@justinerose79147 years agoJomoni ata sitaki kuona hii video maana ina niletea machozi jameni lulu be strong sis we all pray for hope one day utatoka tu akuna kisicho wezekana mbele. ...Expand3
@
@queenayushgalqueengal11487 years agoPole sana dada yetu m/mungu akupe moyo wa subra na uvumilivu kwani yote nimitihani na kila mwanadamu anapitia mtihani wake ila mungu yupo na ww lulu tunakuombea. ...Expand
@
@irenesanga63057 years agoAsante mwinjaku but napenda kusema. Neno moja kwa lulu hata kwa watu wengine rafiki wa kweli ni baba yako na mama yako bila kumsahau mungu aliye juu kwamaana. ...Expand1
@
@vailethnyagawa11827 years agoPle sana lulu lazim upitie kipindi hiki ili ufanyikishe malengo yako ple tutakupokea tumekumic sana ten sana nataman hata watu baki tungekuw tunaruhusiwa k . ...Expand
@
@zaifathussein81957 years agoMe swali langu ambalo waga kila siku najiuliza hivi kama lulu angehukumiwa punde mara baada ya kanumba kufariki kama wiki moja hivi, alafu akahukumiwa anyways tumshukuru mungu kwa kila jambo. pole sana yaarabhi tulinde na utuepushe na madhira ya dunia. ...Expand3
@
@mombiajumaa67657 years agoMwinjaku umefanya vizuri na uendelee na moyo huo kwani imani ailazimishwi ila luli ukitoka usiokee mdaada kwa yeyote yule uloona ulikua nae na akakutenga. ...Expand1
Related videos for MWINJAKU: Alichoelezwa na LULU Baada ya Kumtembelea Gerezani:
hivi kama lulu angehukumiwa punde mara baada ya kanumba kufariki kama wiki moja hivi, alafu akahukumiwa anyways tumshukuru mungu kwa kila jambo.
pole sana yaarabhi tulinde na utuepushe na madhira ya dunia. ...Expand 3
hivi kwanini wabongo wakiongea kiji-neno cha kiingereza lazima watafsiri kiji-neno hicho kwa kiswahili?
hivi kama lulu angehukumiwa punde mara baada ya kanumba kufariki kama wiki moja hivi, alafu akahukumiwa anyways tumshukuru mungu kwa kila jambo.
pole sana yaarabhi tulinde na utuepushe na madhira ya dunia. ...Expand 3