Duration 18:48

Kisinda, Sarpong wanogesha Siku ya Mwananchi, Yanga ikiipiga 2-0 Aigle Noir; Tazama Highlights

1 212 732 watched
0
3.1 K
Published 30 Aug 2020

YANGA 2-0 AIGLE NOIR: Usajili mpya umelipa: Wachezaji wawili Tuisila Kisinda na Michael Sarpong wameifungia Yanga magoli mawili katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Aigle Noir ya Burundi. Ni mchezo wa kirafiki ukiwa na lengo la kutambulisha wachezaji katika kilele cha wiki ya mwananchi, mchezo ukipigwa kwenye Dimba la Mkapa, Dar es Salaam. Tazama Highlights. Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► https://bit.ly/2wB6zmR Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz

Category

Show more

Comments - 389