@benwater49575 years agoI was praying and waiting with great thirsty for someone to be brave enough to speak this truth. Surely you have done me justice today nyalandu. I just. ...Expand4
@
@isaackchambo26425 years agoSafi sana kamanda nyarandu, lumba na vijana wao wataponda sana lkn huu ndio ukwelj na km sio ukweli kwanini mtumiechaguzi. 5
@
@dittokalole32865 years agoWatanzania raha sanaa ushabiki kama wotee!
@
@damascongongi16095 years agoWatanzania wa sasa sio wa miaka kumi iliyopita wameshajua mbivu na mbichi. 2
@
@gideonkalumbu52205 years agoHana namna, lazima aseme vile. Gate la uongozi wake limefungwa. 3
@
@damianmachira75355 years agoHi ni nchi kila mtu lazima atambue tanzania ni zaidi ya kila mtu. 2
@
@mecksonsamwel26665 years agoMtasubili sanaa. Ccm chama dume. 2020 magufuli anatosha hatuoni wakumpiku magufuli hapo wote vilaza2. 4
@
@josephnchunga12475 years agoMmekwisha ninyi hamuwezi ccm vichaa ninyi. 5
@
@makongorowassira65935 years agoNnafurahi kuona angalau mnajipa moyo kiasi fulani. 2
@
@eaglecrown38725 years agoKwa maelezo hayo nyalandu ni jibu tosha kuwa tanzania kuna demoklasia nzuli sana mana ni jibu kuwa magufuli alimbwaga lowasa kihalali, jpm jembe letu ikulu alifika kihalali kabisaaa. 7
@
@mathiascharles57695 years agoNdo tuseme mnajipa matumaini yakijinga. 5
@
@samwelmwaipopo14555 years agoJames swai umesema nyalandu kasema kweli, tatizo sisi watanzania, tunapenda ushabiki tu, sasa je! Wewe hupendi ushabiki? Kama wewe mkweli umesahau nyalandu. ...Expand2
@
@alutefabian8314 years agoHizo bang, i rudisha wanyama wetu bwege wee.
@
@samuelmwambashi41685 years agoKuna watu wanajimaliza kisiasa kipumbavu sana. Chama kinakufa.
@
@massawejacob5 years agoKwa hiyo mishuma ikiwaka utarudii. Mishuma yake ikiwaka anarudiii.
@
@albertnshunju41725 years agoWewe kibaka uliona hawezi kuiba tena chini ya magu. 5
@
@masachihorticultureunitcol7115 years agoRudisha twigakwa ndege kwenda nchi za nje. Sema wewe ukitegemea magufuli akikunyima uwaziri ndio maana ukajiondoa. 1
@blandinamwarabu50255 years agoNyie piganieni ruzuku tu msidanganyane.
@
@paulmorumbe54935 years agoMnadai hakuna uhuru wa kujieleza kama kuna watanzania wenye akili wanajua kuchambua pumba hizo dah bac wazir ulifnya nini kwenye wizara yako starehe tu. 1
@
@rinovarthiliwi13144 years agoHuyu ndie mwana siasa bora sana hana majungu na hajawahi ongelea mtu yeyote ndani ya ccm na ndani ya chadema.
@
@paulommao79925 years agoAiise huyu lazaro nyalandu ni muungwana sana, nakupenda sana na naamini daima hautarudi ccm. asante sana kamanda. 3
@
@tumatuma64785 years agoHuyu ndo walewale kina sumae na lowasa ukikaribia uchaguz tu wanahamia chadema kutafuta ufisadi kisha wanarudi muongo mkubwa.
@
@massawejacob5 years agoKuinadi ccm kweny mkt wa chadema! Hii sio sawa. Ya chadema yabakie huko na ccm yabakie huko. Ukitoka chadema waachie yao na ukitoka ccm waachie yao! Otherwise unataka kurudi? Karibu nyumbani pamenoga!
@
@samsonmwijage16025 years agoUlibanwa mbavu ndo sababu ulitoka ccm. Huna jipya unafurahisha kikao tu.
@
@paulommao79925 years agoLazaro tu ndo mwizi cyoo, wajinga wapo wengi sana. Kama mwizi mbona hawamshtaki na anadunda tu. wote mnaokoment kisisiem sisiem nendeni chap id="hidden6" mkasome kitabu cha mzee wetu rais beni mkapa ambaye kwa dhati anatufundisha cc sote na si kutukana tu. ...Expand
@
@worldtechnology4925 years agoIvi nec n chadema au ccm maana sielew me nahis watajitoa tena 2020 hawatakubali matokeo nec nilisikia n ccm sasa sijui chadema wanaenda kumtoa jpm polepole amekufa au yuko hai.
@
@peteropanga97035 years agoJamani siasa nindiosana watu kutumia jina la mw nyerere.
@
@hawakassimu61205 years agoChadema ndio chama cha kupokea mafisadi ilimpkea lowasa sasa iko na huyu fisadi wa wanyama nyalandu kwendraa. 1
@
@samwelmwaipopo14555 years agoNyalandu yote sema tu, ila unajutia kimoyomoyo uamuzi wako, ulizani utahama ccm na kuyumbisha chama lakini halihalisi umeiona ccm imara zaidi, na mwisho wako upo kama wa sumae na lowasa. 1
@
@yassiniferuzi28674 years agoAcha kujifanya kondoo wakati wewe ni chui kwanza turudishie twiga wetu.
@
@richardthobias56574 years agoKati ya watu wanaopoteza muda, na nguvu zao ni ww nyarandu, hivi tanzania hii nani atakupa kura ww? Jidanganye ndugu yangu huna ambacho unaweza kuambulia.
@
@peteropanga97035 years agoHayo makofi yanatoka moyoni kweli? Je leo akirudi ccm itakwaje? Makofi yatapigwa tena?
@
@hassanmirambo5645 years agoUtofauti ni ile unanijua mimi ni nani imeisha hivi sasa ikitokea bahati mbaya nyalandu ukaniuliza unanijua mimi ni nani nakujibu kwa herufi kubwa wewe shahawa tu au wewe udongo tu na hunifanyi chochote pimbi wewe. 1
@
@piushappyness2265 years agoMwizi we lazima. Uone tofauti umebaniwa shenzi zako. Nenda kamwambie aunt ezekiel. 1
@
@georgemaji79155 years agoAlieiloga ccm ni wachawi wa gambosh. Ila kk. Mchawi anaweza kumloga mtu mmoja. Ila sisiimechacha kkna wanajishauri what next: mtuachie nchi tufanye maajabu!
@
@madukaj.j.69995 years agoNakosa cha kusema lkn dhahiri huyo ana cha kujibu kuhusu twiga. 5
@afropatriot77695 years agoTurudishie tembo wetu wewe na kinana mmeuza wanyama huko wee kuzuiwa mnasema mishumaa inazima hahaha.
@
@blandinamwarabu50255 years agoKumbe neno kujimwambafai nimegundua lipo chini.
@
@designdesign44265 years agoHili kenge linaongea nini? Njaa tu inalisunbua umefanya kipi ulipokua waziri nasasa unataka ufanye nini. 1
@
@yasinshaban49335 years agoAliyeshibia jikon humkejel anayesubir dining room. et tulifundishwa uaminifu, uaminifu gan wale twiga veep? 3
@
@raymondkagaruki55295 years agoUnajipya ulinyimwa starehe ya kwenda nje ludisha tembo zetu. 5
@
@kaminyogemwachelwa98845 years agoHeri kuacha mali za udhalimu na kupiganianyarandu. 1
@
@mrukerewe21005 years agoHuyu system ili mkataa so nazani magu akitoka madarakani huyu analudi ccm niamini mimi haya maneno yake tu toshaa tayali kuludi ccm. 2
@
@judaspantaleo97795 years agoNikiangalia uso wako naona wanyama kadhaa waliotoroshwa. 1
@
@faustinekaniki3185 years agoHili jambazi la twiga bwana hata silielewi. 1
@
@mchungajiemmanuelmtui4945 years agoMahira tuu ndio hayatamwelewa nyalandu ila nyalandu anaupendo wa dhati na taifa letu.
@
@richardsanga71585 years agoMwendawazimu huyo muza twiga wetu huyo. 1
@
@killianwambura95845 years agoMpumbavu ww yaani unaropoka bila aibu fisadi mkubwa. 4
@
@zachariamaige17095 years agoUnaongea uhalo tu. Waambie sasa na wenzio wawe wanasaini matokeo yanapokuwa tofauti na matarajio yao. 3
@
@jilalafumbokisabo36335 years agoJaman hiv mbaya jamaa anaisha mwili na akili duu? 1
@
@lameckbalekere19625 years agoWenyalandu shoga wewe kafilwe nawazungu. 2
@
@Felix722825 years agoHapo anaongea nini huyu? Aseme tu ukweli kuwa aliona kasi ya jpm haiwezi. 1
@
@scayroad85005 years agoHuna lolote we ni fisadi ndio maana ukakimbia kaa hukohuko jambazi. 1
@
@majosamalundi40165 years agoKila mtu naona anakomenti twiga kama ushaidi upo si mpeleke makamani.
@
@musakavenuke63785 years agoHiyo ni hasila zako za kunyimwamkunga na uzazi ungalipo pili unalopoka tu je wale twiga mbona husemi?
@
@charlesmurimi5925 years agoSanaa nyalandu, ccm wameisha baada ya kujichagua wenyewe serikali za mitaa na kutumia dola sana. Siasa ni ushawishi na uzalendo na kuenzi demokrasia. 3
@
@halimamasai22345 years agoWe rudisha twiga zetu huna lolote hata haya huna shenzi wewe. 2
@
@blandinamwarabu50255 years agoHasira ya kunyanganywa tonge mdomoni lo ulitaka uwe waziri kweli mshumaa ulizimika ghafla.
Related videos for MHE LAZARO NYALANDU AELEZA CCM ILIVYOKUWA NA SASA NI TOFAUTI:
asante sana kamanda. 3
wote mnaokoment kisisiem sisiem nendeni chap id="hidden6" mkasome kitabu cha mzee wetu rais beni mkapa ambaye kwa dhati anatufundisha cc sote na si kutukana tu. ...Expand
et tulifundishwa uaminifu, uaminifu gan
wale twiga veep? 3