"OCD KAMATA HUYU Weka NDANI, Yaani CORONA ITUPIGE, MAFURIKO, na SUKARI MPANDISHE" - DC SABAYA
Ikiwa ni siku chache zimepita tangu serikali kutangaza Bei elekezi ya Sukari kwa kila mkoa bado Baadhi ya Wafanyabiashara wameonekana kutofuata maelekezo hayo ya serikali...
Hali hiyo Ni kufuatia msako wa mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya, aliyoifanya na kubaini idadi kubwa ya Wafanyabiashara kuwalangua wananchi kwa kuuza Sukari kwa kilo zaidi ya Bei elekezi ambayo Ni shiling 2700 kwa mkoa wa Kilimanjaro na wengine kuuza mpaka shilingi 3500 kinyume na maagizo ya serikali..
Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8
iOS:https://apple.co/38HjiCx
UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE
(+255 784 888982)
(+255 676 229628)
Email: globaltvbest@gmail.com
abbymrisho@gmail.com
HABARI MPYA DAILY:
http://bit.ly/habarimpya
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
GLOBAL RADIO TV:
http://bit.ly/255globalradio
EXCLUSIVE INTERVIEW:
http://bit.ly/exclusive_interviews
Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania
http://bit.ly/exclusive_interviews