@abdallahndibalema87975 years agoduniani amna mtu kama mama nampenda sana mama yangu kipenzi R. I. P MAMA kama unampenda mama yako lije 21
@
@brilliannangila33285 years agoWaaaaau barikiwa sana dogo mboso Fanya mpango huyo mtoto akawe msanii pia 2
@
@bimaisarankamia41535 years agoMashaallh .umeimba vzr mungu akutangulie ufikie ndoto zako 5
@
@latefaafreca54865 years agoInshalla mungu atakuwa nawe siku zote nakuombea uwe mstaarabu. Ameen 4
@
@haulefrancis28625 years agoMama angu hakuna anae fanana na we chini ya jua nakupenda Sana we ni nguzo kwangu Nakupenda sana mama 26
@
@rahmasimba76075 years agomungu hakulaze maala pema mama angu,naumia mm 7
@
@zakeishengomaeward59185 years agoMtotp huyu ako vizuri sana aseee God bless him 8
@
@maryrosechamanga75535 years agoR.I.p my mumy nmekukumbuka sana mama yangu I wish ungemuona mwajina wako synosure. 4
@
@sophicatesalim97575 years agoNice babangu mungu akukuze uje utimize ndoto zako 2
@
@ashazuberi21865 years agoNimempenda dogo mungu amkuze afike mahali pazuri kama ilivyo ndoto yake 6
@
@mercymoshi36665 years agoNimemkumbuka mama angu jmn.R.I.P mama.kama umetokwa machoz kwa wimbo huu weka like😭 126
@
@hatamimnimempendabulejaman15963 years agoSafi fella jaman kaka yangu yupo alikuwa Ana kipaj paka kutunga nyimbo anajuwa
@
@martinanungu71405 years agoDaah yan uyu dogo amenkumbusha mama angu,na anakpaji kwel Mungu amjalie
@
@jumahamisi2915 years agoKama umemuona dogo mmoja kaja kuokota ela afu kaludi..tujuane 28
@
@happyjonathan25605 years agoWenye mama ongeren sana tusiye na mama R I P mamy 24
@
@lilykanevergiveup22825 years agoGonga like kama unajua huyu mtoto amebarikiwa na ataeda far 4
@
@mariamhamza14195 years agoNimemkumbuka mama yangu kipenzi,,,,, daima nitamkumbuka mama 1
@
@mwambietv76145 years agoFella upo good Sana mzee Sema Hawa madogo wanaanza kiburi wakiwa wametoka Bila kusahau ww ndo umewatoa,, ccm tu hapo ndo sijapenda Maccm bhana 2
@
@esterabonga79475 years agoivi uyu dogo angeenda bongo star tungemskia salama kasema ww katafute jembe ukalime 😁😁😁😁 5
@
@milcahjosiah39675 years agoMungu mtunzee mama angu nakupend my mum 1
@
@annahmsomba66854 years agoTakukumbuka daima ulale pema mama angu
@
@rosemerry51745 years agomama ndo kila kitu kwangu nakupenda mama
@
@abdiyathe62215 years agoI love Tanzanian mother's mashallah 2
@
@puritielenns15355 years agoit remind of my mum whom i can't rem her face i wish angekuwepo mamaa 1
@
@neemashayo13495 years agoNo one like mom nakupenda sana mama angu kuliko chochote
@
@radhiasalum71565 years agodaaa nimelia hii nyimbo acha tu.ila inakela hawa bukubuku tu lo!🙆🙆 1
@
@rajabusanani40325 years agodogo yupo vizur, ila muheshimiwa uvaaji gani huo aisee, au ndo vileeeee tupo kitaani kwetu mbagala 2
@
@hamzanamtunga41055 years agoR.I.p my mumy ulale pema pemoni always irember my mumy 1
@
@hollytae30603 years agoWaittt that’s the guy from bongo star search 😭😭
@
@radhiasalum71565 years agodaa we baba mola akujalie maana wengi wanazurura mitaani tu 1
@
@meshackmganga69485 years agoYaan hawa jamaa wanatoa bukubuku tu duuuu 7
@
@gracegilbert28825 years agodogo yuko makin na pesa anazo tuzya mpaka ana katakata maneno😀😀😀
@
@mtuwawatumtunamtu25205 years agoDogo kaniliza yaani maana nimemkumbuka mama
@
@mgayamgaya5 years agosisiem bwana naona mnatoa bukubuku tu mnamchomesha na jua dogo na huyo jamaa aloweka mfukoni mwa dogo atakuwa kaweka jero au mia 13
@
@yohanadeusi56605 years agombona buku ndio nyinginyingi erufu kumi hamna wazee wa ccm 2
@
@laymapeace45385 years agoanavyoziangalia izo pesa zake apo chini😂😂 2
@
@isihakamtaalam20995 years agoCcm bana mbona bakhili toeni pesa jamn dogo kaimba. 2
@
@rashidyiddy24255 years agoDogo aslai hakuwezi ww mpaka unaniliza manaunaimbakwauzuni
@
@wazawaentertainment18475 years agoUwezo binafs Dogo mleten wazaw Tz tumsain 1
Related videos for Dogo awaliza kwa wimbo wa Aslay: